MISINGI 6 YA KUWA NA FURAHA KATIKA MAISHA.



1- Usimchukie yeyote hata kama atakukosea sana.

2- Ishi maisha ya kawaida hata kama upo juu kimaisha.

3- Tarajia baraka hata kama magumu yanakusonga.

4- Toa hata kama wewe umenyimwa.

5- Onyesha tabasamu hata kama moyo unavuja damu.

6- Usiache kuwaombea wengine hata kama yako hayajajibiwa.

Post a Comment

1 Comments

Emoji
(y)
:)
:(
hihi
:-)
:D
=D
:-d
;(
;-(
@-)
:P
:o
:>)
(o)
:p
(p)
:-s
(m)
8-)
:-t
:-b
b-(
:-#
=p~
x-)
(k)